CINE CLUB

CINE CLUB
BANANA ZORRO NA THE BAND

Saturday, January 15, 2011

NI SHUGHULI YA SHANGWE ZA MWAKA MPYA !

 

Hapa sasa moto unawashwa  namna hii....huku umati wa watu ukishuhudia kibingwa. Ilikuwa tarehe 2 mwezi huu katika ukumbi wa Cine Club , Mikocheni , jijini Dar es Salaam.Ni shangwe za mwaka mpya.

Kuna muda uliwadia ambapo ili bidi  niwaite watoto  mbelea ya jukwaa  kucheza na kisha aliyewashinda wenzake aliaondoka na zawadi maalum kutoka The B Band
Mademu nao hawakubaki nyuma kusapoti kazi !

Kuna mwanamke mmoja aliniletea mwanae ambapo nilishoo  love nae ....ndipo King Kif  ambaye ni Promotion Manager wangu akanitwanga  picha hii !.Huyu mtoto anaitwa Yusuph.

Cheki nyomi kiaina!

No comments:

Post a Comment